Friday, August 15, 2014

MAONO NA MALENGO YA KANISA

           
  •          Tunatalajia kufungua Makanisa Inje na ndani ya  Tanzania
  •          Tunatalajia kuwa na kituo cha Redio na televisheni
  •          Tunatazamia kujenga kanisa kubwa lenye uwezo wa kubeba watu takribani  million tatu
  •          Tunatazamia  kufungua shule ambazo zitakuwa zikichukua wanafunzi kuanzia Kindergaten hadi Chuo Kikuu
  •         Tunatazamia kufungua hospitali,vituo vya kulelea watoto yatima na kusaidia watu wasio jiweza
  •          Pia tunatazamia kuwa na Chuo Kikuu cha Biblia
  •          Tunatazamia  kuwa na vyanzo mbalimbali vya Uchumi pamoja na kuwa na Benki zetu wenyewe

No comments:

Post a Comment