MAONO NA MALENGO YA KANISA
- Tunatalajia kufungua
Makanisa Inje na ndani ya Tanzania
- Tunatalajia kuwa na
kituo cha Redio na televisheni
- Tunatazamia kujenga
kanisa kubwa lenye uwezo wa kubeba watu takribani million tatu
- Tunatazamia kufungua shule ambazo zitakuwa zikichukua
wanafunzi kuanzia Kindergaten hadi Chuo Kikuu
- Tunatazamia kufungua
hospitali,vituo vya kulelea watoto yatima na kusaidia watu wasio jiweza
- Pia tunatazamia kuwa
na Chuo Kikuu cha Biblia
- Tunatazamia kuwa na vyanzo mbalimbali vya Uchumi pamoja
na kuwa na Benki zetu wenyewe
No comments:
Post a Comment