Friday, August 15, 2014

CHANGAMOTO.

                               
Tumekabiliana na changamto nyingi sana kama vile;
·         Kupigwa vita kwa habari ya mikutano
·         Kupigwa vita kwa habari ya semina,pamoja na ratiba mbali mbali za maombi zilizokuwa zikiendelea hapa kanisani
·         Kupigwa vita na watumishi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusemwa  vibaya kwa Mtumishi na kanisa kwa ujumla

·         Lakini mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nasi ukitupigania, hatimaye tukazidi kuwa washindi,Jina la Yesu lipewe sifa, Amen.

No comments:

Post a Comment